Diwani ya Jinamizi
Kitabu hiki kina tungo za mshairi Ali Salim Zakwany. Tungo zake zimesheheni maarifa na hekima maridhawa kwani zagusa nyanja zote ya maisha ya watu: Maadili, Elimu, Siasa, Dini n.k.
A collection of Swahili poems by Ali Salim Zakwany famously known by his pen name ‘Jinamizi’ (Nightmare).
ISBN 9789987686780 | 128 pages | 204mm x 145mm | 2004 | Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania | Paperback
- Categories: