Personal tools
You are here: Home Books Pesa Zako Zinanuka

Pesa Zako Zinanuka

by Ben R. Mtobwa

Mwandishi mmoja mashuhuri hapa duniani aliwahi kuandika katika kitabu chake, ‘No Money Smells’, kwamba hakuna pesa zinazonuka. Lakini mwandishi wa riwaya hii anadai “zipo, na zanuka”. Ni pesa zipi hizi? Na vipi zinuke? Hii ni riwaya nzito ya kihistoria. Mwandishi anaivulia jamii miwani na kuitazama kwa makini bila uoga, huku akimulika unafiki na ukatili uliofichika katika mioyo ya wengi. Hata anakutana na huyu ambaye anaambiwa: “Umemuua mwanao ... Lazima umle ... ” Ni riwaya ambayo itakutoa machozi!

ISBN 9789966561572 | 162 pages | 178 x 127 mm | 1993 | East African Educational Publishers, Kenya | Paperback

Categories:

eBook ISBN: 9789966565969

Authors

Editors

Document Actions