Personal tools
You are here: Home Books Dimbwi la Damu

Dimbwi la Damu

by Ben R. Mtobwa

Alipoamua kwenda Kigoma, Joram Kiango alitarajia kupumzika, akiburudishwa na mandhari murua ya Ziwa Tanganyika lakini haikuwa hivyo. Likizo yake ilibadilika ghafla huku maisha yake yakiingia katika utata mkubwa.

Katika jitihada za kutatua utata huo, Joram Kiango anakabiliana uso kwa uso na mjumbe wa mauti, mwenye kiu kali cha damu na anayesheheni silaha zote. Mjumbe ambaye yuko tayari kwa lolote; tayari kufa, tayari kuua...

ISBN 9789966561541 | 104 pages | 178 x 127 mm | 1984 | East African Educational Publishers, Kenya | Paperback

Categories:

eBook ISBN: 9789966565914

Authors

Editors

Document Actions