Personal tools
You are here: Home Books Barua Ndefu Kama Hii

Barua Ndefu Kama Hii

by Mariama Ba

Ramatoulaye, mwanamke Msenegali ameolewa na Mody, mtu mzito serikalini. Baada ya miaka mingi ya ndoa Modu anaoa mke mwingine, msichana mdogo mwenye umri sawa na wa binti yake. Ramatolaye anasahauliwa; pesa na mapenzi vinahamia kwa mke mdogo. Modu anakufa katika ajali ya gari. Nani atakayerithi mali za marehemu? Halafu kuna umati uliokuja kwenye kilio ambao “lazima ulishwe na upewe pesa kwa heshima ya marehemu”. Mariana Ba, mwandishi wa riwaya hii, alikuwa wa kwanza kupewa tuzo ya Noma mwaka 1980. Riwaya hii imetafsiriwa katika lugha kumi na nane na umaarufu wake unazidi kukua.

The original publication was in French, Une si longue lettre; and this is the Swahili translation from the English, translated by the late Professor Maganga. Une si longue lettre is a classic of the African canon, winning the first Noma Award for Publishing in Africa in 1980, and translated into 17 other languages.

ISBN 9789976973211 | 122 pages | 200mm x 128mm | 2009 | Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania | Paperback

Categories:

Authors

Editors

Document Actions